Search
Free School Management System
Free School Management System for Kenya

Free School Management System

Learn More

KCSE CLUSTER TESTS 24

Kiswahili Paper 1

1.

LAZIMA
Umealikwa katika kongamano la Kiswahili wilayani.

Andika hotuba utakayotoa kuhusu tatizo la uzungumzaji wa lugha ya Kiswahili isiyo sanifu miongoni mwa wanafunzi wa shule za upili wilayani.

20 marks

2.

Andika insha inayobainisha maana ya methali:
Mfa maji haishi kutapatapa

20 marks

3.

Andika insha kuhusu nafasi ya vyombo vya habari katika kuhimiza amani nchini.

20 marks

4.

Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo.
‘Buum!’Mlipuko huo ulitapakaza vifusi kote. Wingu jeusi la moshi likatanda…

20 marks

Back Top