Search
Free School Management System
Free School Management System for Kenya

Free School Management System

Learn More

KCSE CLUSTER TESTS 15

Kiswahili Paper 1

1.

Andika barua kwa mhariri ukipendekeza njia za kuimarisha viwango vya elimu katika kaunti yenu.

20 marks

2.

Ungekuwa Rais wa Kenya, fafanua njia utakazotumia kustawisha uchumi uliosambaratika.

20 marks

3.

Badiliko kwa mjukuu huanza na babu.

20 marks

4.

Andika insha itakayoanza kwa maneno yafuatayo.

Maneno yake yaliupenya moyo wangu na kuukata kama mshale. Wingu kubwa la huzuni lilinigubika ghafla. Niliangua kilio. (Endeleza).

20 marks

Back Top