Kiswahili Paper 1 Question Paper
2015 KCSE Murang'a South Mock
Kiswahili Paper 1
1.
Lazima.
Andika barua kwa mhariri wa gazeti la Tomoko Leo ukitoa maoni kuhusu sekta ya usafiri wa pikipiki.
20 marks
2.
Mwiba wa kujichoma hauambiwi pole.
20 marks
3.
Viongozi walioko wapaswa watimuliwe mamlakani na wachaguliwe wengine. Jadili.
20 marks
4.
Andika kisa kitakachomalizika kwa maneno haya;
... Nilikula yamini kamwe sitawahi kujihusisha na mzaha tena.
20 marks