Kiswahili Paper 1 Question Paper
2015 KCSE Gem Sub-County Joint Evaluation
Kiswahili Paper 1
1.
Unataka kuwania Ugavana. Andika tawasifu watakayoisoma wapigakura ili wavutiwe kukuchagua.
20 marks
2.
Tatizo la usalama nchini Kenya ni janga la kujitakia Jadili.
20 marks
3.
Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti.
20 marks
4.
Andika kisa kitakachoishia maneno haya : ...nilitambua kwamba si vizuri kumtegemea mtu mmoja kwa hali na mali.
20 marks