Search
Free School Management System
Free School Management System for Kenya

Free School Management System

Learn More

2015 KCSE Murang'a South Mock

Kiswahili Paper 2

1.UFAHAMU (Alama 15)

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yafuatayo.
1.

1. - Uandishi wa vitabu vya watoto.
- Vitabu vya watoto. (1 x 1 al 1)
2. Katika umri mdogo. al 1
3. (i) Kujifahamisha mengi kuhusu ukuaji wa watoto wadogo.
(ii) Kujifahamisha na yanayopendeza na kuchochea watoto katika kusoma. 2 x 2 al 4
4. Kwamba wanafunzi wa madarasa ya chini wanaweza kutumia mikakati sawa na wa madarasa ya juu.
1 x 2 al 2
5. (i) Kukariri
(ii) Kuiga / kuigiza
(iii) kufuatilia hadithi kwa picha.
6. (i) Sentensi fupi fupi
(ii) Sarufi na msamiati sahihi.
(iii)Kurudiwarudiwa
(iv) Nyimbo na mashairi mapesi yawepo.
(v) Kuwepo picha nyingi na vibonzo vya rangi. zozote 2 x 1 al 2
7. (a) Ombwe - pengo
(b) Kufidiwa - kujazwa / kutoshelezwa

15 marks

2.UFUPISHO (Alama 15)

2.

(a) Hoja muhimu.

1. Watafiti wa afya wamegundua sukari ya viwandani haina virutubishi.
2. Utaratibu wa kuitayarisha iwe nyeupe huharibu virutubishi vinavyofaa mwili.
3. Sukari imesazwakwa kutiwa ladha tamu tu.
4. Sukari ina madhara. Inaposagika mwilini masalioya asidi yenye sumu.
5. Ikiwa nyingi hudhuru kwa kuozesha na kuharibu meno.
6. Huongeza maradhi ya kisukari.
7. Huleta ugonjwa wa kuumwa na kichwa ghafla,kutapika na kutoona ikitumiwa kiholela.
8. Huongeza kolestroli ambayo ikirundikana moyoni hufanya mishipa nyembamba.
Hoja 7 x 1 utiritiko 1 = al 8
(b) - Madhara ya sukari inaonyesha sukari ni sumu.
- Wataalamu wa lishe wanapendekeza ulaji wa chakula chenye sukari asilia, hasa inayotoka kwenye asali.
- Sukari ya asali ina virutubishi vingi vyenye manufaa mwilini.
- Hupatia mwili nishati na kuuchangamsha.
- Ina kemikali zinazosaidia mtoto kuwa na anaemia.
- Husaidia usagaji wa chakula ikitumiwa kabla ya kula.
- Huondoa harufu mbaya mdomoni.
- Inaweza kujipakwa hutunza ngozi na kuing’arisha.
- Huondoa vipele na ugumu wa ngozi.
- Hutibu vidonda.
- Viwanda vya vipodozi huitumia kama malighafi. Hoja 6 x 1 utiririko al 1 = al 7

15 marks

3. MATUMIZI YA LUGHA. (Alama 40)

3.

Yeye ndiye anayejua kwetu. al 2

2 marks

4.

wa - nafsi
tembe - mzizi
a - kiishio
vyo – kirejeshi 4 x ½ (al 2)

2 marks

5.

Sentensi mbili sahili zenye kiunganishi, zina mawazo zaidi ya moja m.f; tathmini sentensi ya mwanafunzi iwe na kiunganishi.

2 marks

6.

hari, haraka, halafu, ahsante n.k (1 x 1 al 1)

1 marks

7.

Aliambiwa kwamba wizi ulikuwa umezidi. (2 x 1 al 2)

1 marks

8.

Mlango - (i) Uwazi wa kuingilia katika nyumba.
(ii) Sehemu katika biblia. (2 x 1 al 2)

1 marks

9.

Vitabu hivi ndivyo alivyonunua.
Vyama vyao ndivyo vilisajiliwa. (2 x 1 al 2)

2 marks

10.

yuyu huyu
yuyo huyo
yule yule yoyote 1 x 1 al 1

1 marks

11.

S - KN + KT
KN - N + U + N
N - Rinda
U - na
N - mamake
KT - T + N + S
T - walimchukua
N - mtoto
S - aliyekuwa ametoroshwa al 4

1 marks

12.

Kiima - Sehemu katika sentensi inayochukua
mahali pa nomino / kundi nomino.

2 marks

13.

Chumbani mnaliwa na dada. al 2

2 marks

14.

Asomeapo ni darasani
Tunakoenda ni sokoni
Mlimokuwa mnashwa ni chumbani yoyote al 2

2 marks

15.

Majaribio ya mashambulizi yalizimwa na askari. (al 2)

2 marks

16.

(i) Tunapomwombea
Tunayemwombea
Tukimwombea
Ambaye tunaombea yoyote al 1
(ii) Shiba – shibe al 1

2 marks

17.

Jopo - Ya makundi
Ukweli – dhahania al 2

2 marks

18.

Akija tuende kwao.
Akija tutaenda kwao al 2

2 marks

19.

Walikuwa wamemaliza wali. al 2

2 marks

20.

Usije! al 1

2 marks

21.

“Nakuomba / tafadhali usinipeleke kwa mwalimu mkuu. Nami nitakupa zawadi.” Alfa alisema
“Je, unakubali? akauliza.

2 marks

22.

Cha namna mfanano.

2 marks

23.

Gari lenye kutujia halikuwa na utingo.

2 marks

4.ISIMU JAMII (Alama 10)

24.

1. Msamiati wa lugha za kibantu unakaribiana.

2. Baadhi ya vitenzi vya kibantu kinanyambulika.
3. Kiswahili kina irabu tano ambazo baadhi ni kama za lugha nyingi za kibantu.
4. Muundo wa maneno ya kibantu unakaribiana
m.f KKI, IKKI, KIKI
5. Mpangilio wa ngeli za nomino unajitokeza katika lugha nyingi za kibantu hoja 5 x 2 (al 10)

10 marks

Back Top